SYRIA-URUSI-MAPIGANO
Watu 25, ikiwa ni pamoja na watoto sita, wauawa Raqa
Ni vigumu kwa sasa kujua kwamba mashambulizi yaliendeshwa na ndege za kivita za Urusi au za Syria, shirika la Haki za binadamu nchini Syria (OSDH) limesema.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Maeneo mengi ya mkoa wa Raq yamelengwa na mashambulizi hayo. Raia 25, wakiwemo watoto sita wameuawa katika mashambulizi dhidi ya ngome ya kundi la Islamic State, Raqa, nchini Syria, OSDH imesema leo Jumatano.
Mashambulizi yaliyoendeshwa Jumanne wiki hii yalilenga maeneo mengi yamji wa Raqa, OSDH imebaini, huku ikiongeza kuwa ni vigumu kujua kwamba mashambulizi hayo yaliendeshwa na ndege za kivita za Urusi au za Syria.migomo yalifanywa na Syria au la Urusi anga.