UKWELI AU UONGO
kipindi hiki kipya kinachoangazia kuepusha taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii, hapa tunakuelimisha juu ya matumizi mazuri ya mitandao ya kijamii katika kusambaza habari za kweli. RFI Kiswahili imekuletea kipindi hiki kwa ushirikiano na Labenevolensia
Soma yanayofuataSikiliza kipindi kilichopita
Vipindi vyote
-
Madai ya kupotosha kwamba kiarabu kimefanywa kuwa lugha rasmi Senegal
Moja ya habari tunayoangazia ni dai kuwa lugha ya kiarabu imefanywa kuwa lugha rasmi nchini Senegal badala ya Kifaransa.10/05/202410:00 -
Picha zinazodai kuwa wakaazi wanatumia boti jijini Nairobi kutokana na mafuriko
Moja ya habari tunayoangazia ni picha kutoka Kenya kuwa wakaazi wa jiji kuu wanatumia boti kutokana na mafuriko lakini huu ni uongo.04/05/202410:00 -
Video za kupotosha kuwa mtali alishambuliwa vibaya nchini Sudan Kusini
Wiki hii tunaangazia Machapisho ya kupotosha ambayo yanasambaza picha zinazodai kuwa mtalii alipigwa vibaya sana nchini Sudan Kusini.27/04/202410:58 -
Madai ya kupotosha ya Urusi kuwa mamluki wa kigeni wanaisaidia Ukraine
Ripoti ya kutilia shaka kutoka ubalozi wa Urusi kuwa kuna mamluki wa kigeni wanaopigana kwa ajili ya Kyiv.19/04/202410:01 -
Ukraine: Rais Zelensky anazuiliwa katika gereza nchini Urusi: Sio Kweli
Chapisho lililoenea kwenye mtandao wa X likidai kuonesha picha ya rais Volodymyr Zelensky katika gereza la Urusi ambayo mtangazaji wa zamani wa Fox News Tucker Carlson alitangaza mtandaoni.12/04/202410:01 -
Mwanaume mwenye vichwa viwili ameonekana Nigeria: Sio kweli
Akaunti moja mtandaoni hivi maajuzi ilidai kuwa picha ilizosambaza zinaonesha mwanaume mwenye vichwa viwili nchini Nigeria, ikiashiria kuwa picha hizo zilikuwa za ukweli.05/04/202410:01 -
Sauti iliokarabatiwa kudai Donald Trump anamuunga mkono Jacob Zuma
Sauti iliyobadilishwa ikidaiwa kuwa yake aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump, anayeunga mkono Jacob Zuma katika uchaguzi wa Afrika Kusini.29/03/202410:16 -
Google itasitisha huduma yake ya barua pepe isiyolipishwa ya Gmail:Uongo
Picha ya skrini ya barua pepe inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii ikidai kwamba injini ya Google itasitisha huduma yake ya barua pepe isiyolipishwa ya Gmail mnamo Agosti 2024. Lakini hii si kweli.22/03/202410:17 -
Video inayoonesha wanajeshi wa DRC wakiwa kambini na wala si waasi wa M23
Moja ya habari ya uongo tunaangazia wiki hii ni video inayoonesha wanajeshi wa Kongo wakiwa kambini na wala si waasi wa M23.15/03/202410:05 -
EAC haijazindua sarafu ya pamoja kama inavyodaiwa mitandaoni
Kamati ya utendaji ya EAC ilitupilia mbali ripoti ya kuzinduliwa kwa sarafu ya pamoja ikisema mchakato wa kuundwa kwa sarafu ya pamoja ya Afrika Mashariki bado unaendelea.08/03/202410:13 -
Safari ya Odinga kuelekea AU yakabiliwa na upotoshaji mitandaoni
Habari zinazopotosha kuwa rais wa tano wa Kenya Uhuru Kenyatta anamuunga mkono rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete kwa wadhifa wa mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa badala ya kumuunga mkono Raila Odinga.01/03/202410:00 -
Kulikuwepo na mpango wa kumuua rais Macron nchini Ukraine: Uongo
Video ambayo imebuniwa kidijitali ikidai runinga na France24 ilitangaza kuwa rais Macron ameahirisha ziara yake kwenda Kyiv kwa madai ya njama ya kuuawa.23/02/202410:00 -
RDC: Raia wa kigeni wamepewa taarifa ya kuondoka Goma: Sio kweli
Mitandao ya kijamii nchini DRC imekuwa ikidai kuwa balozi nyingi za Ulaya ziliwasiliana na raia wake wanaoishi Goma ili kuwarejesha nyumbani kutokana na hali ya usalama.16/02/202410:04 -
Mji wa Ivory Coast wadaiwa kuwa ni eneo la Kisumu nchini Kenya
Mwezi uliopita kuna picha iliibuka mtandaoni ikidai kuonesha mji huo ulio kando ya ziwa ukionekana nadhifu.09/02/202410:00 -
Nigeria: Rais Tinubu amemtetea nabii TB Joshua aliyefariki: Sio kweli
Video iliokarabatiwa ikidai kumuonesha rais wa Nigeria Bola Tinubu akimtetea nabii TB Joshua aliyefariki 202102/02/202410:00
UKWELI AU UONGO
kipindi hiki kipya kinachoangazia kuepusha taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii, hapa tunakuelimisha juu ya matumizi mazuri ya mitandao ya kijamii katika kusambaza habari za kweli.
RFI Kiswahili imekuletea kipindi hiki kwa ushirikiano na Labenevolensia