UKWELI AU UONGO
Safari ya Odinga kuelekea AU yakabiliwa na upotoshaji mitandaoni
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Habari zinazopotosha kuwa rais wa tano wa Kenya Uhuru Kenyatta anamuunga mkono rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete kwa wadhifa wa mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa badala ya kumuunga mkono Raila Odinga.