UKWELI AU UONGO
Mwanaume mwenye vichwa viwili ameonekana Nigeria: Sio kweli
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Akaunti moja mtandaoni hivi maajuzi ilidai kuwa picha ilizosambaza zinaonesha mwanaume mwenye vichwa viwili nchini Nigeria, ikiashiria kuwa picha hizo zilikuwa za ukweli.
Matangazo ya kibiashara
Madai haya ni ya kupotosha, AFP Fact Check iligundua kuwa picha hizi, hapo awali zilisambazwa na msanii wa madoido maalum wa Nigeria, na zilionyesha mhusika wa kubuni kwenye filamu ya Nigeria iliyooneshwa kupitia kampuni ya Netflix.