UKWELI AU UONGO
Nigeria: Rais Tinubu amemtetea nabii TB Joshua aliyefariki: Sio kweli
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Video iliokarabatiwa ikidai kumuonesha rais wa Nigeria Bola Tinubu akimtetea nabii TB Joshua aliyefariki 2021
Matangazo ya kibiashara
Video hii ilibadilishwa sauti asilia ya Tinubu na sauti nyingine inayofanana na yake. Video ya asili inaonesha hotuba ya Mwaka Mpya yake Tinubu mnamo Januari 1, 2024, wiki moja kabla ya BBC kutoa uchunguzi huo kwa umma.