Marekani: Kura muhimu katika Seneti kupitisha msaada kwa Ukraine
Bunge la Seneti la Marekani siku ya Jumapili lilichukua hatua muhimu kuelekea kupitishwa kwa msaada wa dola bilioni 95 kwa Ukraine, Israel na Taiwan, uliyozuiwa katika Bunge la Congress kwa miezi kadhaa.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Kwa kukusanya kura 67 za kura hii ya kitaratibu, Seneti inaonyesha kuwa ina kura zinazohitajika ili kuidhinisha msaada huo, ambao hata hivyo utakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa maafisa waliochaguliwa wa Republican katika Baraza la Wawakilishi.
Taarifa zaidi zinakujia...