Pata taarifa kuu
UFILIPINO-USHIRIKIANO

Ufilipino: Duterte arejesha makubaliano kuhusu uwepo wa wanajeshi wa Marekani

Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amerejesha makubaliano ya kuhusiana na uwepo wa wanajeshi wa Marekani nchini Ufilipino, mawaziri wa ulinzi wa nchi hizo mbili wametangaza Ijumaa.

Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amerejelea kauli yake kuhusu uamuzi wa kumaliza makubaliano muhimu ya kijeshi na Merekani.
Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amerejelea kauli yake kuhusu uamuzi wa kumaliza makubaliano muhimu ya kijeshi na Merekani. - Philippines' Presidential Photographers Division (PPD)/AFP
Matangazo ya kibiashara

Makubaliano hayo, yanayoitwa "Visiting forces agreement" (VFA), yanahusiana na uwepo wa maelfu ya wanajeshi wa Marekani ambao huja Ufilipino kushiriki mazoezi ya kijeshi.

Mkataba huu umechukua umuhimu zaidi wakati Marekani na washirika wake watalazimika kukabiliana na China inayozidi kujiimarisha kijeshi.

Mwaka jana Rodrigo Duterte alitangaza  kufutwa kwa VFA, lakini hatimaye ameisasisha hadi mwezi Desemba

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.