Wimbi la Siasa
Jamhuri ya Afrika ya Kati bado inahitaji msaada kiusalama
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Hivi Karibuni Serikali ya Ufaransa ilitamatisha Operesheni ya kulinda amani na usalama nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati ingawaje nchi bado inahitaji nguvu za kimataifa ili kukabiliana na vitendo vya mauaji na machafuko. Je ni sahihi kwa Ufaransa kuondoka wakati huu? Ungana na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kupata uchambuzi wa kina.