Wimbi la Siasa
Mwaka mmoja wa mapigano nchini Sudan kati ya jeshi la serikali na RSF
Imechapishwa:
Cheza - 09:34
Wiki hii, ilikuwa ni mwaka mmoja wa vita nchini Sudan, kati ya jeshi la taifa chini ya Jenerali Abdel Fattah al-Burhan na wanamgambo wa RSF wanaongozwa na Jenerali Mohammed Hamdan Dagalo.