Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Michuano ya soka ya bara Ulaya yaanza kutimua vumbi

Imechapishwa:

Michuano ya soka ya bara Ulaya mwaka 2016, imeanza kutimua vumbi nchini Ufaransa kwa wenyeji kupata ushindi wa mabao 2 kwa 1 dhidi ya Romania.Leo katika Jukwaa la Michezo, tunachambua kwa kina michuano hii.

Sherehe za ufunguzi wa michuano ya Euro nchini Ufaransa
Sherehe za ufunguzi wa michuano ya Euro nchini Ufaransa AFP/Miguel Medina
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.