Wimbi la Siasa
Kenya: Kutuma polisi wake nchini Haiti kuthibiti magenge ya wahalifu
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Serikali ya Kenya na Haiti zimetiliana saini ili kufanikisha Kenya kutuma polisi wake nchini Haiti kudhibiti magenge ya wahalifu ambayo yameendelea kutatiza usalama nchini Haiti.