Wimbi la Siasa
Mataifa mbalimbali dunia, yamelaani hatua Hamas kuivamia Israel
Imechapishwa:
Cheza - 10:10
Mataifa mbalimbali dunia, yamelaani hatua ya kundi la Hamas kutoka Mamlaka ya Palestina kushambulia miji mitatu ya Kusini mwa Israeli na kurusha maelfu ya maroketi kutokea ukanda wa Gaza.