Wimbi la Siasa
Mvutano wa kumpata Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini DRC
Imechapishwa:
Cheza - 10:22
Viongozi wa dini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia wameshindwa kuelewana kuhusu ni nani awe Mwenyekiti mpya wa Tume ya Uchaguzi nchini humo CENI kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2023. Tunajadili