Wimbi la Siasa
Nani atapeperusha bendera ya upinzani kwenye Uchaguzi Mkuu nchini Kenya ?
Imechapishwa:
Cheza - 10:07
Wimbi la siasa wiki hii, linatupitia jicho siasa za upinzani, kumtafuta mgombea mmoja wa urais kuelekea Uchaguzi Mkuu mwezi Agosti mwaka 2022.