Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Kukamatwa kwa kiongozi wa upinzani nchini Tanzania

Imechapishwa:

Wiki hii, kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Freeman Mbowe alikamatwa na polisi akiwa mjini Mwanza, akijiandaa kuongoza kongamano la kudai katiba mpya nchini humo. Polisi wanasema wanamshikilia kwa tuhma za kigaidi.

Freeman Mbowe, kiongozi wa upinzani nchini Tanzania, wakati wa kampeni za siasa mwaka 2020
Freeman Mbowe, kiongozi wa upinzani nchini Tanzania, wakati wa kampeni za siasa mwaka 2020 Ericky Boniphace AFP/Archivos
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.