Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Mvutano wa wanasiasa nchini Tanzania kudai Katiba mpya

Imechapishwa:

Nchini Tanzania, wanasiasa wanaendelea kuzua mjadala kuhusu kuwepo kwa mchakato wa kupata katiba mpya, wakati huu rais wa nchi hiyo rais Samia Suluhu Hassan akisema hicho sio kipaumbele chake kwa sasa.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan STR AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.