Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Tanzani: Mvutano wa wabunge 19 wa viti maalum kutoka CHADEMA kuendelea kuwa bungeni

Imechapishwa:

Chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, kinaendelea kusisitiza kuwa hakikuidhinisha wabunge 19 wa viti maalum kutoka chama chake kwenda bungeni na kinataka waondolewe bungeni.

Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA Freeman Mbowe
Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA Freeman Mbowe RFI Kiswahli
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.