Wimbi la Siasa
Rais Samia Suluhu Hassan kukutana na viongozi wa upinzani
Imechapishwa:
Cheza - 10:16
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameahidi kukutana na viongozi wa upinzani na kujadiliana nao kuhusu mustakabali wa kisiasa nchini humo baada ya baadhi yao kukimbia nchi na wengine kulalamikia kuminywa kwa misingi ya demokrasia. Je, itakuwaje ? Tunajadili