Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Rais Samia Suluhu Hassan kukutana na viongozi wa upinzani

Imechapishwa:

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameahidi kukutana na viongozi wa upinzani na kujadiliana nao kuhusu mustakabali wa kisiasa nchini humo baada ya baadhi yao kukimbia nchi na wengine kulalamikia kuminywa kwa misingi ya demokrasia. Je, itakuwaje ? Tunajadili

Mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania  Tundu Lissu, anayeishi nchini Ubelgiji.
Mwanasiasa wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu, anayeishi nchini Ubelgiji. © AFP - stringer
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.