Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Mashambulio mjini Sake mashariki ya DRC, hali ya Kenya, kifo cha mpinzani wa Urusi

Imechapishwa:

Wiki imejaa matukio ya kutamausha kwanza; wanajeshi wawili wa Afrika kusini waliuawa mashariki mwa DRC, kinara wa upinzani wa nchini Kenya Raila Odinga kuwania uwenyekiti wa tume ya Umoja wa Afrika, maandamano ya wapinzani nchini Tanzania, yaliyojiri Sudani, pia Senegal huko Afrika magharibi, kifo cha mpinzani huko Urusi Alexei Navalyn, shinikizo za kimataifa dhidi ya Israeli ikubali kusitisha vita dhidi ya Hamas,na mengineyo

Mkuu wa MONUSCO akikagua wanajeshi wa Pakistani huko Goma, Juni 16, 2022
Mkuu wa MONUSCO akikagua wanajeshi wa Pakistani huko Goma, Juni 16, 2022 © Photo MONUSCO/Force
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.