Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Jamii zisizo na uraia zalilia serikali ya Kenya

Imechapishwa:

Nchini Kenya serikali inalenga kuanza kutoa vitambulisho vya kidijiti ili kuimarisha huduma zake mbali na kuzuia wizi wa mitandao ambao umekuwa ukiteklezwa na wahalifu.

WACHAMA WA JAMII ZISIZO NA URAIA NCHINI KENYA
WACHAMA WA JAMII ZISIZO NA URAIA NCHINI KENYA © rfi Kiswahili
Matangazo ya kibiashara

Hata hivo mashariki mbalimbali yamejitokeza kupinga kuanza kwa shughuli hiyo hadi pale jamii mbalimbali ambazo zimekuwa zikishuhudia changamoto za kupata vitambulisho kutokana na kukosa uraia zikitaka serikali kushughulikia matatizo hayo kabla ya kuendelea na shughuli ya kuanza usajili.

Jamii ni hizo ni pamoja raia kutoka nchini Rwanda, Wapemba, Wanubi na washona.

 

Ili kufahamu mengi skiza makala haya.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.