Jua Haki Zako
Matumizi ya nguvu kupitia kiasi na polisi wakati wa maandamano
Imechapishwa:
Cheza - 09:44
Mashirika ya kutetea haki za binadamu Human Right Watch na Amnesty International, yametuhumu polisi nchini Kenya kwa matumizi ya nguvu kupita kiasi wakati wa kuwakabili wandamanaji wakati wa maandamano yaliokuwa yameitishwa na upinzani mwezi Machi.
Matangazo ya kibiashara
Ili kufahamu mengi zaidi sikiza makala haya.