Katika jamii nyingi za kiafrica si rahisi wanawake kuruhusiwa kumiliki ardhi, ni swala wengi sasa wanaliona kama limepitwa na wakati.
Matangazo ya kibiashara
Ni kutokana na hatua hiyo ndio maana wanaharakati kama vile Sarah Metei na Irene Maina wamejitokeza kupigania haki za wanawake kumiliki ardhi nchini Kenya.
Wanaharakati hawa wanasema wakati umewadia katiba za mataifa ya Africa kuruhusu wanawake kumiliki ardhi, kwa mengi zaidi skiza makala haya.
Fuatilia habari zote za kimataifa kwa kupakua App ya RFI