Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Haki ya wanawake kumiliki ardhi

Imechapishwa:

Katika jamii nyingi za kiafrica si rahisi wanawake kuruhusiwa kumiliki ardhi, ni swala wengi sasa wanaliona kama limepitwa na wakati.

Kutoka kushoto mwanaharakati Sarah Metei, kutoka jimbo la Kajiado nchini Kenya, katika ni bwana Benson Wakoli, mtangazaji wa rfi Kiswahili na kulia ni Irene Maina mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake, kutoka kituo cha haki cha Dondora Nairobi Kenya,  katika Ukumbi wa Alliance Française - Nairobi
Kutoka kushoto mwanaharakati Sarah Metei, kutoka jimbo la Kajiado nchini Kenya, katika ni bwana Benson Wakoli, mtangazaji wa rfi Kiswahili na kulia ni Irene Maina mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake, kutoka kituo cha haki cha Dondora Nairobi Kenya, katika Ukumbi wa Alliance Française - Nairobi © rfi Kiswahili
Matangazo ya kibiashara
Wakati wa kurekodi makala ya Jua Haki zako katika Ukumbi wa Alliance Française - Nairobi
Wakati wa kurekodi makala ya Jua Haki zako katika Ukumbi wa Alliance Française - Nairobi © rfi Kiswahili
Ni kutokana na hatua hiyo ndio maana wanaharakati kama vile Sarah Metei na Irene Maina wamejitokeza kupigania haki za wanawake kumiliki ardhi nchini Kenya.

Wanaharakati hawa wanasema wakati umewadia katiba za mataifa ya Africa kuruhusu wanawake kumiliki ardhi, kwa mengi zaidi skiza makala haya.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.