Jua Haki Zako
Idadi kubwa ya wakenya hawafahamu nia ya serikali kutaka kufanyia katiba marekebisho
Imechapishwa:
Cheza - 09:57
katika Makala haya tunajikita nchini Kenya ambapo mchakato mzima wa kufanyia katiba marekebisho umekwama kutokana na hatua ya mahakama kuu nchini humo kusimamisha mchakato huo kwa msingi kuwa wanzilishi wa mchakato huo rais Uhuru Kenyatta, na kingozi wa upinzani Raila Odinga, hakufuata sheria wakati wakianzisha mchakato huo.Benson Wakoli amelizamia swala hili katika makala haya