Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Jukumu la viongizi wa Africa kutatua mzozo wa Ukraine na Urusi

Imechapishwa:

Ujumbe wa viongozi wa Afrika umesema umepata mafanikio makubwa katika juhudi zao za kupatanisha Urusi na Ukraine baada ya ziara yao katika mataifa hayo mawili.

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, Waziri Mkuu wa Misri Mustafa Madbuly, Rais wa Muungano wa Comoro Azali Assoumani, Rais wa Senegal Macky Sall na Rais wa Zambia Hakainde Hichilema wanahudhuria sherehe za kumbukumbu katika eneo la kaburi la halaiki huko Bucha, nje kidogo ya mji wa Kyiv, Ukraine, Ijumaa, Juni 16, 2023. Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aliwasili Ukrainia siku ya Ijumaa kama sehemu ya ujumbe wa viongozi wa Afrika na maafisa wakuu wakitafuta njia za kumaliza vita vya miezi 15 vya Kyiv na Urusi. (Picha ya AP/Efrem Lukatsky)
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, Waziri Mkuu wa Misri Mustafa Madbuly, Rais wa Muungano wa Comoro Azali Assoumani, Rais wa Senegal Macky Sall na Rais wa Zambia Hakainde Hichilema wanahudhuria sherehe za kumbukumbu katika eneo la kaburi la halaiki huko Bucha, nje kidogo ya mji wa Kyiv, Ukraine, Ijumaa, Juni 16, 2023. Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aliwasili Ukrainia siku ya Ijumaa kama sehemu ya ujumbe wa viongozi wa Afrika na maafisa wakuu wakitafuta njia za kumaliza vita vya miezi 15 vya Kyiv na Urusi. (Picha ya AP/Efrem Lukatsky) AP - Efrem Lukatsky
Matangazo ya kibiashara

 

Rais wa Afrika Kusini ni mshirika wa karibu wa rais wa Urusi
Rais wa Afrika Kusini ni mshirika wa karibu wa rais wa Urusi via REUTERS - HOST PHOTO AGENCY RIA NOVOSTI

Unadhani viongozi wa Afrika wanamchango upi kumaliza vita vya Urusi na Ukraine?

Haya hapa baadhi ya maoni yako.

Vipindi vingine
  • 10:00
  • 10:13
  • 10:00
  • 09:51
  • 09:52
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.