Habari RFI-Ki
Ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali barani Afrika inatia hofu
Imechapishwa:
Cheza - 09:51
Umoja wa Afrika, unasema ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali inatia hofu na hatua za haraka zinapaswa kuchukuliwa ili kukabiliana na hali hii.