Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRC

Imechapishwa:

Umoja wa Mataifa unaomba msaada wa haraka wa kibinadamu kuwasaidia raia wa DRC zaidi ya milioni nane walioathiriwa na utovu wa usalama mashariki mwa nchi yao.

Watu waliotoroka makazi yao wakikimbia eneo la shambulio linalodaiwa kutekelezwa na kundi la waasi la ADF katika kijiji cha Halungupa karibu na Beni, Kivu Kaskazini, DRC, Februari 18, 2020.
Watu waliotoroka makazi yao wakikimbia eneo la shambulio linalodaiwa kutekelezwa na kundi la waasi la ADF katika kijiji cha Halungupa karibu na Beni, Kivu Kaskazini, DRC, Februari 18, 2020. © AFP/Alexis Huguet
Vipindi vingine
  • 08:40
  • 10:09
  • 10:00
  • 10:13
  • 10:00
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.