Rais wa Somalia Mohamed Farmajo na waziri mkuu wake Hussein Roble, wameendelea kuvutana hadharani hali inayotishia kuitumbukiza nchi hiyo katika mzozo mwingine wa kisiasa .Rais Farmajo akimtuhumu Roble kwa matumizi mabaya ya ofisi na kumsimamisha kazi.Unadhani wawili hawa hawewezi tena kufanya kazi pamoja?Mvutano wao unaiweka wapi Somalia ?Nini kifanyike?
Vipindi vingine
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13 -
10:00
-
Ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali barani Afrika inatia hofu
Umoja wa Afrika, unasema ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali inatia hofu na hatua za haraka zinapaswa kuchukuliwa ili kukabiliana na hali hii.25/04/202409:51 -
Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRC
Umoja wa Mataifa unaomba msaada wa haraka wa kibinadamu kuwasaidia raia wa DRC zaidi ya milioni nane walioathiriwa na utovu wa usalama mashariki mwa nchi yao.23/04/202409:52