Habari RFI-Ki
Kenya yasitisha safari za ndege za kutoka na kuingia nchini Somalia
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Taifa la kenya limefuta safari za ndege kutoka nchini Somalia, siku chache baada ya mataifa haya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia, kufutia miezi kadhaa ya mvutano.Je, unadhani hatua hii itachangia mgogoro zaidi kati ya Kenya na somalia?Haya hapa ni baadhi ya maoni yako msikilizaji.