Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Kifo cha rais wa Tanzania John Magufuli

Imechapishwa:

Rais wa Tanzania John Magufuli amefariki dunia, baada ya kuugua ugonjwa wa moyo. Leo kwenye Makala haya, tunaangazia maisha ya Marehemu Magufuli.

Aliyekuwa rais wa Tanzania Marehemu John Magufuli, wakati wa uongozi wake
Aliyekuwa rais wa Tanzania Marehemu John Magufuli, wakati wa uongozi wake AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.