Wimbi la Siasa
Mvutano wa kisiasa nchini Uganda kati ya Bobi wine na rais Museveni
Imechapishwa:
Cheza - 10:13
Makala ya juma hili la wimbi la siasa mwandishi wetu Victor Robert Wile, ameangazia siasa za Uganda, ambapo kiongozi wa upinzani, Robert Kygulanyi maarufu kama Wine, aliagiza mawakili wake kuondoa kesi ya kupinga ushindi wa rais Yoiweri Muveseni mahakama, kwa tuhuma mahakama kuegemea upande moja.