Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Burundi yawa nchi ya kwanza kujiondoa kwenye Mahakama ya ICC

Imechapishwa:

Burundi imekuwa nchi ya kwanza, kujiondoa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya ICC, mwaka mmoja baada ya kuonesha nia ya kufanya hivyo. Wanaharakati wa haki za binadamu na wanasiasa wa upinzani wamelaani hatua hiyo.

Jengo la mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai, ICC.
Jengo la mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai, ICC. REUTERS/Jerry Lampen/File Photo
Vipindi vingine
  • 10:00
  • 10:13
  • 10:00
  • 09:51
  • 09:52
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.