Habari RFI-Ki
Burundi yawa nchi ya kwanza kujiondoa kwenye Mahakama ya ICC
Imechapishwa:
Cheza - 07:06
Burundi imekuwa nchi ya kwanza, kujiondoa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya ICC, mwaka mmoja baada ya kuonesha nia ya kufanya hivyo. Wanaharakati wa haki za binadamu na wanasiasa wa upinzani wamelaani hatua hiyo.