Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mauaji kuendelea katika mji wa mwenda DRC, wanafunzi warejelea shule nchini Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 20:16
Ni makala ya kwanza ya mwaka mpya wa 2021 kuuawa kwa watu zaidi ya 20 katika kijiji cha Mwenda mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, wanafunzi warejelea shule nchini Kenya, mgombea wa urais nchini Uganda Bobi Wine ahamisha familia yake nje ya nchi kabla ya kufanyika kwa uchaguzi nchini humo, rais Nana akufo ado wa Ghana kuwania kiti cha urais kwa muhula wa pili, na kimataifa wafuasi wakerais wa Marekani Donald Trump waandamana kupinga ushindi wake Joe Biden na kulivamia bunge la Capital Hill jijini Washington.