Pata taarifa kuu
Habari RFI-Ki

Maji safi na salama barani Afrika

Imechapishwa:

Katika makala haya tunaangazia hali ya upatikanaji wa maji safi na salama barani Afrika wakati huu kongamano kuhusu maji safi na salama Afrika likifanyika Dakar Senegal, karibu ufahamu changamoto wanazokabiliana nazo wananchi wa bara Afrika.

Wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wakisubiri kuchota maji kwenye kisima jirani na mpaka wa Chad
Wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wakisubiri kuchota maji kwenye kisima jirani na mpaka wa Chad REUTERS SIEGFRIED MODOLA
Vipindi vingine
  • 10:00
  • 09:51
  • 09:52
  • 09:41
  • 09:48
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.