ITALIA
Italia: Giuseppe Conte achaguliwa kuongoza M5S
kiongozi wa zamani wa serikali nchini Italia Giuseppe Conte amechaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha M5S Jumamosi, hii Agosti 7, na hivyo kumaliza kipindi cha kutokuwa na uhakika kilichoripotia katika chama hicho.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Chama kinachowakilishwa zaidi katika Bunge la Italia tangu ushindi wake katika uchaguzi wa wabunge wa mwaka 2018, kiùepata 32% ya kura.
Italia inapitia wakati mgumu kutokana na janga la COVID-19, ambapo nchi hiyo imeathirika zaidi