Wimbi la Siasa
Umoja wa Mataifa waonya hali ya usalama Jamhuri ya Afrika ya Kati
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Umoja wa Mataifa hivi karibuni ulisema kuwa nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati inabiliwa na ombwe kubwa la kiusalama na kwamba jitihada zaidi zinahitajika ili kusaidia nchi hiyo kuepuka kurudi ilikotoka. Ungana na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kupata undani wa mada hii.