Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Umoja wa Mataifa kuichukulia hatua dhi Burundi?

Imechapishwa:

Serikali ya Burundi hivi karibuni ilitupilia mbali hatua ya Umoja wa Mataifa ya kutaka kupelekwe askari wake wa kulinda amani nchini Burundi. Hoja zinazobaki mezani ni pamoja na hatua ambazo Umoja wa Mataifa utachukua baada ya Burundi kukataa. Ungana na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kujua mengi zaidi.

Rais wa Burundi Perre Nkurunziza
Rais wa Burundi Perre Nkurunziza RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.