Wimbi la Siasa
Mazungumzo ya Burundi kutegua kitendawili cha upatikanaji amani
Imechapishwa:
Cheza - 10:07
Mazungungumzo ya Burundi ya kusaka amani nchini Burundi yakiratibiwa na msuluhishi Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa yalifanyika hivi karibuni jijini Arusha nchini Tanzania. Je mazungumzo hayo ni mwanzo wa kufunguliwa kwa ukurasa mpya katika jitihada za kusaka amani nchini Burundi? Makinika na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa kupata majibu ya suala hilo..................