Wimbi la Siasa
Umoja wa Afrika na kigugumizi cha kutuma wanajeshi wa kulinda amani nchini Burundi
Imechapishwa:
Cheza - 09:57
Umoja wa Afrika bado unakabiliwa na changamoto kubwa kuhusu hali ya Burundi kukiwa na mvutano juu kupelekwa kwa wanajeshi wa kulinda amani nchini humo. Je ni kwa nini viongozi wa Umoja wa Afrika bado wana kigugumizi kuhusu hatua hiyo? Ungana na Victor Robert Wile kujua mengi zaidi katika makala haya ya Wimbi la Siasa..........