Wimbi la Siasa
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa washinikiza mazungumzo ya amani Burundi
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Umoja wa Mataifa kupitia Baraza lake la Usalama umetuma ujumbe wake nchini Burundi kumshawishi Rais Pierre Nkurunziza kufanya mazungumzo na upinzani ikiwa ni pamoja na kumshawishi akubali kupelekwa kwa wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika. Fuatailia makala ya Wimbi la Siasa kujua yaliyojiri na Victor Robert Wile......