Karibu katika Mjadala wa Wiki tunazungumzia hali ya kisiasa na usalama nchini Burkina Faso baada ya wanajeshi wa kumlinda rais juma lililopita kuwakamata na kuwazuia rais Michel Kafando na Waziri Mkuu Isaac Zida.Baada ya mazungumzo kati ya wanajeshi hao na viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi wa ukanda wa nchi za Afrika Magharibi ECOWAS, imekubaliwa kuwa Michel Kafando atarejea katika wadhifa wake.