Wimbi la Siasa
Hali ya kisiasa nchini Burundi bado kitendawili maandamano yakitikisa
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Nchi ya Burundi kwa sasa inakabiliwa na hali ngumu ya kisiasa baada ya kuzuka kwa maandamano yanayolenga kupinga Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza kuwania mhula wa tatu wa urais huku nchini hiyo ikikabiliwa wimbi la wakimbizi. Fuatilia makala ya Wimbi la Siasa na Victor Robert Wile ujue mengi yanayojiri nchini Burundi.