Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ataka Sudan Kusini wagawane madaraka

Imechapishwa:

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon amewataka mahasimu wa kisiasa nchini Sudan Kusini Rais Salva Kiir  na Makamu wa Rais wa zamani Rieky Machar kugawana madaraka kwa kuunda serikali ya pamoja kabla y kufanyika kwa uchaguzi wa kidemokrasia. Je kauli ya Ban Ki Moon inatekelezeka? Ungana na Victor Robert Wile katika makala haya ya Wimbi la Siasa.........

Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir
Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir REUTERS/Tiksa Negeri
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.