Wimbi la Siasa
Marekani, washirika wake na harakati za kusambaratisha kundi la Islamic State
Imechapishwa:
Cheza - 09:50
Kitendawili cha Marekani, washirika wake na harakati za kusambaratisha kundi la Islamic State kinaendelea kuwa kigumu kwa sababu Marekani pamoja na kuendeleza mashambulizi ya anga lakini wapiganaji wa kijihadi wanajibu mapigo. Je Marekani pamoja washirika wake wataweza kukitegua kitendawili hicho? Fuatilia makala ya Wimbi la Siasa na Victor Robert Wile upate undani wa sakata hili.......