Wimbi la Siasa
Tanzania: shughuli za Bunge maalumu la Katiba zaendelea kususiwa na baadhi ya wabunge
Imechapishwa:
Cheza - 10:09
Makala ya Wimbi la Siasa inaangazia hali ya kisiasa nchini Tanzania ambapo, mchakato wa kusaka Katiba mpya unaendelea, huku mvutano kati ya wabunge ukiendelea kujitokeza baada ya baadhi ya wabunge kususia kushiriki vikao vya Bunge maalumu la Katiba. Hali hiyo inajiri wakati raia wakiendelea kusubiri katiba mpya.