Wimbi la Siasa
RCA : makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Seleka na Anti-balaka
Imechapishwa:
Cheza - 10:10
Makala haya ya Wimbi la Siasa inaangaziya mazungumzo ya kusaka amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, baada ya makundi hasimu nchini humo Seleka na Anti-balaka kukubali kusitisha mashafuko na kukubali kujumuika na wanasiasa wengine kwa ujenzi wa taifa, ambalo limeshuhudia machafuko ya kikabila yaliyosababisha vifo vya maefu ya raia, na wengine kulazimika kuyahama makaazi yao.