Wimbi la Siasa
Kuanza kwa oparesheni ya kuwapokonya silaha wapiganaji wa FDLR nchini DRCongo
Imechapishwa:
Cheza - 09:58
Katika Wimbi la Siasa juma hili tunajadili kuanza kwa oparesheni ya kuwapokonya silaha wapiganaji wenye asili ya Rwanda FDLR huko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC.