Wimbi la Siasa
Fahamu mkutano wa dharura kati ya Raisi wa Ufaransa na wakuu wa mataifa mbalimbali ya barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 09:51
Makala ya Wimbi juma hili inajikita katika mkutano jijini Parisi ulioitishwa na raisi wa ufaransa Fancois Hollande kujadili hali ya usala wa nchi ya Jamuhuri ya Afrika ya kati na masuala mengine ya kiuchumi barani Afrika.