Mashindano ya raga kwa wachezaji saba kila upande yaanza Hong Kong.
Makala ya mwaka 2023 kutafuta taji la mchezo wa raga duniani katika msururu wa michuano ya raga kwa wachezaji saba kwa upande wa wanaume, yanaanza siku ya Ijumaa huko Hong Kong.
Imechapishwa:
Bara la Afrika linawakilishwa na Kenya ambao wamewahi kushinda taji hili mara moja mwaka 2016 na Afrika Kusini ambayo imebeba mataji 38.
Timu zinazoshiriki katika mashindano hayo :
Kundi A: Australia, New Zealand, Samoa, Hong Kong
Kundi B: Afrika Kusini, Ufaransa, Uingereza, Uruguay
Kundi C: Fiji, Marekani, Hispania, Japan
Kundi D: Argentina, Ireland, Kenya, Canada
Ratiba Ijumaa Novemba 04 2022:
Ireland vs Kenya
Argentina vs Canada
Marekani vs Hispania
Fiji vs Japan
Ufaransa vs Uingereza
Afrika Kusini vs Uruguay
New Zealand vs Samoa
Australia vs Hong Kong