Pata taarifa kuu

Costa Rica yaibamiza New Zealand bao 1-0

Timu ya taifa ya soka ya Costa Rica, imekuwa ya mwisho kufuzu katika michchuano ya kombe la dunia, itakayofanyika kuanzia mwezi Novemba nchini Qatar, baada ya kuifunga New Zealand bao 1 kwa 0, bao ambalo lilifungwa na mchezaji wa zamani wa Arsenal, Joel Campbell katika dakika ya tatu ya mchuano huo.

Costa Rica, sasa imejiunga na Uhispania, Ujerumani na Japan katika kundi moja ambalo linaonekana gumu katika michuano hiyo
Costa Rica, sasa imejiunga na Uhispania, Ujerumani na Japan katika kundi moja ambalo linaonekana gumu katika michuano hiyo © AFP - KARIM JAAFAR
Matangazo ya kibiashara

Costa Rica, sasa imejiunga na Uhispania, Ujerumani na Japan katika kundi moja ambalo linaonekana gumu katika michuano hiyo. 

Makundi: 

   Group A: Qatar, Ecuador, Senegal, Netherlands 

 

   Group B: England, Iran, USA, Wales 

 

   Group C: Argentina, Saudi Arabia, Mexico, Poland 

 

   Group D: France, Australia, Denmark, Tunisia 

 

   Group E: Spain, Costa Rica, Germany, Japan 

 

   Group F: Belgium, Canada, Morocco, Croatia 

 

   Group G: Brazil, Serbia, Switzerland, Cameroon 

 

   Group H: Portugal, Ghana, Uruguay, South Korea 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.