SOKA-BARCELONA-GREMIO
Barcelona yakamilisha usajili wa kiungo, Mbrazil
Mabingwa wa soka nchini Hispania, Barcelona wamekamilisha uhamisho wa kiungo Arthur kutoka klabu ya Gremio ya Brazil.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Matangazo ya kibiashara
Ada ya uhamisho wa mchezaji huyo imegharimu dola milioni 47 na anakuja kuongeza nguvu katika kikosi hicho kinachotumia Uwanja wa Camp Nou.
Barcelona inayonolewa na Ernesto valvede imeondokewa na viungo wawili Andreas Iniesta na Paulinho walioelekea barani Asia